- Habari, Kitaifa
- May 1, 2024
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa amesema Siku ya Wafanyakazi Duniani (MEI MOSI) ambayo huadhimishwa kila mwaka ni siku maalum kwa ajili ya wafanyakazi kutafakari na kutathmini namna walivyotekeleza malengo waliyojiwekea katika mwaka husika. Amesema kuwa siku hiyo inatoa fursa kwa wafanyakazi wote duniani kuweka mipango kwa ajili ya mwaka tofuata na ndiyo maana inafanyika kipindi ambacho
READ MORE- Habari, Kilimo
- May 1, 2024
WAZIRI Mkuu Kassim Majaliwa ameshuhudia utiaji saini mikataba 20 ya ukarabati na ujenzi wa miradi ya umwagiliaji baina ya Tume ya Taifa ya Umwagiliaji chini ya Wizara ya Kilimo na Wakandarasi jijini Dodoma. Mikataba hiyo ni ya ujenzi na ukarabati wa Skimu 14 pamoja na miradi sita (6) ya usanifu wa kina na upembuzi yakinifu
READ MORE- Habari, Kitaifa
- April 29, 2024
Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko leo Aprili 29, 2024 amefungua Mkutano Mkuu wa 13 wa Mwaka wa Kitaaluma wa Jukwaa la Wahariri Tanzania uliofanyika katika ukumbi wa St. Gasper jijini Dodoma na kuwataka wanahabari wajisimamie na kuilinda taaluma ya habari.
READ MORE